Sunday, January 27, 2008

Mkuki Kwa Nguruwe...

Huko Kenya mambo yamefikia hatua mbaya kama hii. Kijana akiwa amechomwa mkuki katika mapigano yaliyoibuka baada ya uchaguzi, akisubiri huduma ya kuutoa hospitalini. Mungu msaidie

No comments:

Post a Comment