Sunday, January 27, 2008

Mhariri Apata Nondo

Mhariri wa Mtanzania, Deodatus Balile, akiwa ameshika cheti chake cha Shahada ya Uzamili baada ya kula nondozz za Uongozi wa Biashara (MSc Business Management) nje ya Ukumbi wa Middleton katika Chuo Kikuu cha Hull nchini Uingereza. Sherehe za kuhitimu zilifanyika Alhamisi ya Januari 24, 2008. Picha na Ansbert Ngurumo

No comments:

Post a Comment