"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Saturday, December 29, 2007
UCHAGUZI KENYA: Mambo ni Kigeugeu
Taarifa sahihi za saa hizi ni kwamba Raila Odinga anamzidi Rais Mwai Kibaki kwa kura 46,000 tu. Matokeo zaidi yanaendelea kutangazwa. Matokeo haya ni katika majimbo 202 kati ya 210. (chanzo ni Citizen Tv ya Kenya)
No comments:
Post a Comment