Wednesday, March 20, 2013

Kesi ya Odinga kupinga matokeo yaanza

Majaji wa Mahakama ya Juu ya kenya wakiwa tayari kuanza kusikiliza kesi ya kupinga ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais ilipotajwa leo asubuhi. Kutoka kushoto ni Njoki Ndungu, Jackton Ojwang, Philip Tunoi, Willy Mutunga (jaji mkuu), Mohamed Ibrahim and Smokin Wanjala. Soma yaliyojiri Daily Nation na hapa The Standard. 
Tume Huru ya Uchaguzi (IEBC) imeomba kesi hiyo itupwe ikidai matokeo yaliyotangazwa yalikuwa shihihi.

No comments:

Post a Comment