Tuesday, March 15, 2011

Loliondo sasa kumekucha

'Tiba Liliondo inaimarisha ndoa'

*Walioitumia wafurahia matokeo, wasimulia
*Mgonjwa atoka Afrika Kusini akiwa na drip
*Mzee apotea baada ya kunywa dawa ya babu

Na Gladness Mboma

DAWA inayotolewa na Mchunngaji Mstaafu wa KKKT (Babu), Bw. Ambilikile Mwasapile katika
Soma zaidi>>>>


Daktari: Mgonjwa Loliondo amepona Ukimwi

Mussa Juma, Loliondo na Deusdedit Moshi, Dodoma

DAKTARI Joachiam Mbosha wa Hospitali Teule ya Wilaya ya Ngorongoro ya Wasso, amethibitisha kuwa mmoja wa wagonjwa wa Ukimwi aliyekwenda kutibiwa kwa Mchungaji Ambilikile Mwasapile, maarufu kwa jina la
Soma zaidi >>>

No comments:

Post a Comment