Tuesday, November 02, 2010

Shein Rais Zanzibar


Maalim Seif Sharif Hamad (kulia)akimpongeza Dk Ali Mohammed Shein baada ya
kutangazwa kuwa Rais mteule wa Zanzibar.katika Kituo kikuu cha kutangazia
Matokeo kilichopo katika ukumbi wa Salama Hoteli ya Bwawani Mjini
Unguja jana usiku. (picha na Haroub Hussein)

No comments:

Post a Comment