Thursday, June 04, 2009

WABUNGE WALIVYOJAA KWENYE BODI ZA MABENKI

Hivi karibuni Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ilitangaza nia yake ya kuwaondoa wabunge kwenye bodi za mabenki. Hawa ni baadhi yao:

SANDUKU LA BARUA 9111
DAR ES SALAAM
TANZANIA
27 Februari, 2009

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete,
ameteua wenyeviti wa Bodi za Mashirika na Taasisi chini ya Wizara ya
Fedha na Uchumi kama ifuatavyo: -

1. Bodi ya TIB – Prof. William Lyakurwa
2. Bodi ya Chuo cha Uhasibu Arusha – Bibi Mwanaidi Mtanda
3. Bodi ya NBC Ltd – Dr. Mussa Assad
4. Bodi ya Twiga Bancorp Limited – Dr. Amon Y. Mbelle
5. Bodi ya Benki ya Posta – Dr. Lettice Rutashobya
6. Bodi ya Michezo ya Kubahatisha (Gaming Board of Tanzania)– Prof.
Hassa M. Mlawa

Uteuzi huu wa wenyeviti ulianza rasmi tarehe 14 Novemba, 2008.
Aidha, Waziri wa Fedha na Uchumi Mh. Mustafa Mkulo amewateua
wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi wa Mashirika/Taasisi hizo.

Bodi ya TIB
1. Bw. Haruna Masebu
2. Mhe. Mgana I. Msindai (Mb)
3. Bibi Edwina Lupembe
4. Bw. Bedason Shallanda
5. Bw. Adatus V. Magere

Bodi ya Chuo cha Uhasibu Arusha
1. Bw. Patric Mwangunga
2. Dr. Suleiman Mohamed
3. Bibi Elipina Mlaki
4. Bw. Leonard Mususa
5. Mhe. Estherina Kilasi (Mb
6. Prof. T. A. Satta
7. Dr. Clemence Tesha
8. Mhe. Felix Mrema (Mb)
9. Bw. Mugisha G. Kamugisha

Bodi ya NBC Ltd
1. Ponsiano Nyami (Mb)

Bodi ya Twiga Bancorp Limited
1. Mhe. Siraju Kaboyonga Juma (Mb)
2. Mhe. Abdallah Kigoda (Mb)
3. Mhe. Devota Likolola (Mb)
4. Mhe. Hulda S. Kibacha (Mb)
5. Bibi Mariam A. Nkumbi
6. Bw. Geofrey M. K. Msella

Bodi ya Benki ya Posta
1. Bibi Juliana Lema
2. Bw. Saidi M. Hussein
3. Bw. H. H. Mchangila
4. Bi. Bertha E. Mallogo

Bodi ya Michezo ya Kubahatisha (Gaming Board of Tanzania)
1. Bw. Dennis Muchunguzi
2. Bi. Suzan Mkapa
3. Bibi Maria Kejo
4. Mhe. Lucy Mayenga (Mb)
5. Mhe. Richard Ndassa ( Mb)

No comments:

Post a Comment