Monday, May 25, 2009

Matokeo Rasmi Busanda

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Bukwimba, Dan Mollel ametangaza matokeo rasmi ya Uchaguzi mdogo. Mgombea wa CCM, Lolensia Bukwimba ameibuka kidedea.
Matokeo ni kama ifuatavyo:
Waliojiandikisha............. 135,000 na ushee
Waliojitokeza ....................55,000 na ushee
CCM ............................29,242
CHADEMA...................22,799
CUF..................................
977
UDP..................................271

No comments:

Post a Comment