Thursday, March 19, 2009

Watoto wa Pinda


Niliweza kupata picha hii ya watoto wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakiwa na watoto wezao wa makabwela enzi hizo .Kuanzia kwa mtoto mwenye suti kulia waliosimama nyuma, watatu aliyesimama ni Namsi Pinda (mwenye gauni jeupe na anayecheka aliyebana nywele) na mwingine aliyesimama nyuma ya mtoto mwenye nguo nyekundu anayecheka mbele, ana nguo nyeupe anaitwa Mkalo Pinda (amebana nywele).

(Picha hii imepigwa na Rev-John Mlemeta Nov-1987 Mbagala Saba-saba , Dar es salaam)

No comments:

Post a Comment