Saturday, March 21, 2009

Editorial Mwananchi

Mvutano huu ni ujanja wa
kutuondoa kwenye ajenda
MALUMBANO yanayoendelea baina ya wabunge wawili wa CCM, Rostam Aziz wa Igunda na Dk Harrison Mwakyembe wa Kyela yanawafanya Watanzania wahoji mantiki yake kwa sababu hayana masilahi kwa taifa na jamii kwa ujumla...Zama Mwenyewe Ndani

No comments:

Post a Comment