Wednesday, February 13, 2008

Mawaziri Waapishwa Dodoma


Kilichovutia wakati wa hafla ya akuapishwa kwa mawaziri ni watu wengi katika viwanja vya Ikulu ndogo , Chamwino Dodoma, kuimba Tyson, Tyson, Tyson, mara baada ya kuapishwa Stephen Wasira, Waziri pekee muda mrefu ambaye alikuwa serikalini tangu Awamu ya Kwanza. Sasa amekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa. Aliwahi kuhamia upinzani, NCCR-Mageuzi na kuwa mbunge.

No comments:

Post a Comment