"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Thursday, February 14, 2008
Diallo Akisoma Gazeti Bungeni
Aliyekuwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo, Antony Diallo (kulia), akijipatia habari katika gazeti la Mwanahalisi, lililokuwa na headline: Richmond ya Rostam -Ikulu. Anayesikiliza mjadala wa bunge ni Mbunge wa Pangani, Mohamed Rished
1 comment:
Anonymous
said...
Aisee Miruko kuna uwezekano wowote wa kupata hiyo makala ya gazeti la mwanahalisi?shukrani.nimekuwa nishangazwa sana na kiasi cha immunity alichonacho Rostam sasa nadhani hiyo inaweza kunipa baadhi ya majibu ...zemarcopolo
1 comment:
Aisee Miruko kuna uwezekano wowote wa kupata hiyo makala ya gazeti la mwanahalisi?shukrani.nimekuwa nishangazwa sana na kiasi cha immunity alichonacho Rostam sasa nadhani hiyo inaweza kunipa baadhi ya majibu ...zemarcopolo
Post a Comment