Mambo bado mazito Kenya. Hakuna makubaliano yoyote yaliyoafikiwa hadi sasa
KIBAKI ameshikilia lake na
RAILA hatakai kugeuka jiwe la chumvi. Wasiwasi mkubwa sasa ni kama Rais Mwai Kibaki atatangaza
BARAZA LA MAWAZIRI kabla moto haujazimika. Viongozi wa dini waendelea kulilia
AMANI ya Kenya. Hapa Tanzania Juhudi za Wampinzani kuandamana kumpinga Kibaki zimegonga mwamba abaada ya
POLISI wenye 'ngoma' zao kumwaga mitaani Dar kwa idadi kubwa iliyozidi ile ya waandamanaji.
No comments:
Post a Comment