Watoto wa Kenya wamekata tamaa, matumaini ya amani yametoweka
' Bora niondoke na bati' huo ndio uamuzi wa mkazi wa Kibera, Nairobi baada ya vibanda vyote kuteketezwa kwa moto
"Mizigo hii tutaipeleka wapi? Ngoja tusikilize redio tujue wapi hakuna vurugu ndio tuelekee'

No comments:
Post a Comment