Friday, January 04, 2008

Kenya Kama Kawa

Watoto wa Kenya wamekata tamaa, matumaini ya amani yametoweka


Kujisalimisha chini ya ulinzi


' Bora niondoke na bati' huo ndio uamuzi wa mkazi wa Kibera, Nairobi baada ya vibanda vyote kuteketezwa kwa moto


"Mizigo hii tutaipeleka wapi? Ngoja tusikilize redio tujue wapi hakuna vurugu ndio tuelekee'

No comments:

Post a Comment