"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Thursday, December 13, 2007
Hatimaye Mahujaji Waondoka
Baada aya kukwama kwa siku tisa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Mahujaji wa TZ wanaokwenda Mecca, walianza kuondoka jana. Yameandikwa mengi juu yao, na huu ndio mfano.
No comments:
Post a Comment