Tuesday, November 06, 2007

Vilio Ni Kwa Wote

Ni kwa walioshinda na walioshishindwa

Mmoja wa wagombea katika nafasi za Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi akibubujikwa na 'machozi ya furaha' mara baada ya
kutangazwa kuwa mmoja wa washindi katika uchaguzi huo. Swali linabaki moja, hivi wanaCCM wanakimbilia nini NEC? Hakuna mshahara, marupurupu, posho za mikao vichache ni Sh40,000 kwa siku. Kuna nini huko? anayefahamu atuwekee hapa tafadhali.

No comments:

Post a Comment