Sunday, March 27, 2011

Babu Azuia wagonjwa wapya

Babu akitoa tamko la kuzuia wagonjwa wapya hadi Aprili Mosi. Isome hapa

Foleni yazidi kipimo, inadaiwa kufikia km 50 kutoka kwa Babu
Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige na mwenzake wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dkt. Terezya Uvisa wakiwasili kwa Babu Loliondo kuzungumza naye kuhusu uwezekanao wa kuzuia maafa zaidi, kisha nao walipata kikombe chao: Kumbuka: Kwa Babu hakuna Kinga kuna Tiba.

No comments:

Post a Comment