Friday, April 24, 2009

Mto Ngono Wafurika!

Mto Ngono ukiwa unakaribia karibu na kingo za daraja la Kyabakoba wilayano Muleba, huku katikia picha ya chini maji ya mto huo yakipita juu ya barabara hatuia chache kabla ya daraja hilo. Hali hii ni hatari, huenda ikawarejesha wakati wa Kamachumu kwenye shida waliyoisahau kwa muda mrefu


1 comment:

Anonymous said...

Mto Ngono????? Wow!

Post a Comment