"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Saturday, February 14, 2009
DC Mbabe Chali
Yule Mkuu wa wilaya ya Bukoba, Mwanajeshi, Albert Mnali aliyeonyesha ubabe na kuwacharaza walimu wa shule tatu za msingi bakora yuko chali--amevuliwa madaraka na kutimuliwa kazi na aliyempa kazi, Rais Jakaya Kikwete. Soma zaidi hapa
No comments:
Post a Comment