"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Thursday, July 07, 2011
Happy Birthday TANU
Rais Jakaya Kikwete akisalimia wafuasi wa CCM waliokusanyika kwenye Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya chama Lumumba, mahali ilipozaliwa TANU tarehe 7/7/1954. TANU ilikufa rasmi mwaka 1977 ilipoungana na Afro Shiraz Party (ASP) kuunda CCM. Je, kuna tija kuadhimisha birthday ya chama kilichokwisha kufa? Kama ndio, mbona siku ya Uhuru Desemba 9, kila mwaka tunasema Siku ya Uhusu wa Tanzania Bara badala ya Tanganyika?
No comments:
Post a Comment