Baada ya kumaliza kifungo chake, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ameibuka na kueleza kuwa kifungo hicho cha miezi mitatu nje ya bunge, hakijathubutu kubadili msimamo wake. "Zitto ni yule yule...Bado niko Vile vile" alieleza jana. Soma Hapa...JK Naye kamteua kwenye kamati ya kuchunguza mikataba ya madini. BUnge lilimkataalia kuunda kamati kama hiyo. Tusio na macho tunaona kuwa ameula, lakini wenye macho wanaona mbali zaidi kuwa JK kafanya hivyo kummaliza kisiasa...Itawezekana kamati nzima ibaini mambo, Zitto peke yake awe na msimamo tofauti?...tungoje kamati imalize kazi zake, kisha ili tuone kama itawezesha mikataba mibovu ambayo imeshasainiwa itabadilishwa au yatakuwa yale yale ya IPTL na City water...Kalaghabao
"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Sunday, November 18, 2007
Zitto Kabwe Aibuka
Baada ya kumaliza kifungo chake, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ameibuka na kueleza kuwa kifungo hicho cha miezi mitatu nje ya bunge, hakijathubutu kubadili msimamo wake. "Zitto ni yule yule...Bado niko Vile vile" alieleza jana. Soma Hapa...JK Naye kamteua kwenye kamati ya kuchunguza mikataba ya madini. BUnge lilimkataalia kuunda kamati kama hiyo. Tusio na macho tunaona kuwa ameula, lakini wenye macho wanaona mbali zaidi kuwa JK kafanya hivyo kummaliza kisiasa...Itawezekana kamati nzima ibaini mambo, Zitto peke yake awe na msimamo tofauti?...tungoje kamati imalize kazi zake, kisha ili tuone kama itawezesha mikataba mibovu ambayo imeshasainiwa itabadilishwa au yatakuwa yale yale ya IPTL na City water...Kalaghabao
1 comment:
Kamaradi nafurahi uko tena kwenye ulingo.
Post a Comment