"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Thursday, November 15, 2007
Vituko vya zekomedi
Kazi yao ni kuvunja mbavu. Kwenye Tv wanavunja mbavu, mitaani wanavunja mbavu. Wengi wanasema 'wanaharibu' watoto kwa kuwaiga. Kutoka kushoto, Mpoki, Wakuvanga, Joti, Mkandamizaji na Mc Reagn Kipara. Wa kwanza kulia mnaweza kunisaidia kumtambua.
No comments:
Post a Comment