"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Thursday, May 27, 2010
Barabara Tuzitakazo
Kilio cha wakazi wa Dar kuhusu foleni za magari kinazidi kukua siku hadi siku, kwa kuwa tatizo linaongezeka. Mikakati yote watafanya, barabara watapanua, mabasi ya kasi yataletwa, lakini mwisho wa yote ni barabara za namna hii za ghorofani
No comments:
Post a Comment