Kwa kosa la kwanza amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela na mwaka mmoja kwa kosa la pili. Kwa kuwa vifungo hivyo vinakwenda pamoja, Malya atakaa jela kwa miaka mitatu. Hukumu imetolewa leo katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma. (pichani akiwa kizimbani na kulia ni mawakili )
No comments:
Post a Comment