Friday, March 15, 2013

Mabadiliko ya Teknolojia

Miaka minane iliyopita Papa Benedict XVI alipokewa kwa mishumaa na wafuasi wake kama inavyoonekana picha ya juu, lakini juzi usiku Papa Francis alipoikewa kwa kamera, simu, iPad, tablets na vitu vingine vya aina hiyo. Ni mabadiliko makubwa.


No comments:

Post a Comment